Kutafuta mtandao wenye ubora, vifurushi vya bei nafuu, gharama ndogo za mawasiliano na kuwa na njia mbadala pale mtandao mmoja unapokuwa na tatizo ni miongoni mwa sababu zinazowafanya Watanzania kumiliki zaidi ya laini moja ya simu.

Back to Home
Bando, ofa wachochea umiliki wa laini nyingi za simu
Mwananchi 39 minutes 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
