Ukilitaja jina Tabora Boys, kwa mtu aliyewahi kusoma Tanzania ya zamani, huwezi kuwa umetaja shule kama shule nyingine, umetaja historia, umetaja nidhamu, umetaja viongozi, umetaja akili za darasani, michezo, gwaride na zile hadithi ambazo kila kizazi cha wanafunzi huwa nacho, huku baadhi zikisimuliwa kwa sauti kubwa, nyingine kwa tabasamu la mtu anayekumbuka ujana wake.

Back to Home
Bifu la Tabora Boys, Mirambo lisivyofutika kwenye historia
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
