Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori (Tawiri), Dk Eblate Mjingo amesema migongano kati ya binadamu na wanyamapori haiwezi kwisha kama mmoja wapo, aidha binadamu au wanyamapori, hawajahama katika eneo husika.

Back to Home
Bosi wa Tawiri ataja mwarobaini migongano ya binadamu, wanyamapori
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
