Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Kufuta Sheria ya Tasnia ya Pareto wa mwaka 2026, huku wabunge wakitaka Serikali kuongeza msukumo katika uzalishaji wa zao hilo kutokana na umuhimu wake kiuchumi.

Back to Home
Bunge lafuta Tasnia ya Pareto
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
