Kiongozi wa upinzani nchini Zambia, Brian Mundubile na mgombea mwenza wake, Makebi Zulu wamewekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa tuhuma zinazohusishwa na uhaini, hatua inayoongeza mvutano wa kisiasa baada ya uchaguzi wa Agosti 13, 2026 uliompa Rais Hakainde Hichilema ushindi wa muhula wa pili.

Back to Home
Mpinzani wa Hichilema ashikiliwa kwa tuhuma za uhaini
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
