Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imeanza mikakati ya kuendeleza bunifu zinazozalishwa na wanufaika wa mpango wa Samia Scholarship ili zitumike kutatua changamoto za Tanzania na Bara la Afrika.

Back to Home
Bunifu za wanufaika wa Samia Scholarship kutumika
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
