Watanzania wanaoishi mijini na wenye uhaba wa ardhi kwa shughuli za kilimo, wameshauriwa kutumia teknolojia ya bustani wima ili kuongeza uzalishaji wa mazao mbalimbali, hususan viungo na vikolezo vya chakula, sambamba na kutumia kwa ufanisi maeneo madogo yanayopatikana katika makazi yao.

Back to Home
‘Bustani za wima zipewe kipaumbele kilimo cha mijini’
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
