Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema taasisi za ukaguzi zinapaswa kujiandaa kwa mabadiliko ya teknolojia kwa kujifunza namna ya kukagua mifumo inayotumia akili bandia (AI) na kutumia teknolojia hiyo kuimarisha ufanisi wa ukaguzi.

Back to Home
CAG Kichere aeleza umuhimu kutumia AI kwenye kaguzi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
