Vikundi 1,590 vya vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu mkoani Mara vimepatiwa zabuni zenye thamani ya Sh224 milioni kupitia mfumo wa kielektroniki wa manunuzi ya umma (NeST).

Back to Home
Mara yatoa zabuni za Sh224 milioni kwa vijana, wanawake na wenye ulemavu
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
