Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza nia ya kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaojitambulisha kuwa viongozi wa chama hicho bila uhalali, kikidai wamekuwa wakikibagaza chama hicho na kumkashifu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche.

Back to Home
Chadema kuwafikisha mahakamani wanaombagaza Heche
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
