Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameagiza kufanyika kwa operesheni maalumu ya kuondoa malori yanayopaki kwenye maeneo ya hifadhi za barabara, akisema hatua hiyo inalenga kurejesha maeneo hayo kwa matumizi ya wananchi wote na kupunguza msongamano unaosababishwa na magari ya mizigo.

Back to Home
Chalamila sasa ageukia malori hifadhi ya barabara
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
