Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimeitaka Serikali kuchukua hatua za haraka kumaliza changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama mkoani Mwanza, kikisema haikubaliki wananchi wa mkoa huo kuendelea kukosa huduma hiyo licha ya kuwa karibu na Ziwa Victoria.

Back to Home
Chaumma yaitaka Serikali kutatua changamoto ya maji Mwanza
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
