Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo amesema upatikanaji wa mbegu bora ni msingi wa mageuzi ya kilimo na kufikiwa kwa lengo la Ajenda 10/30 la kukuza sekta hiyo kwa asilimia 10 kwa mwaka ifikapo 2030. Amesema Serikali imeweka mikakati ya kukuza tasnia ya mbegu nchini kwa kuongeza uzalishaji wa ndani, kujitosheleza kwa mahitaji na kupunguza utegemezi wa mbegu zinazoagizwa kutoka nje.

Back to Home
Chongolo: Mageuzi ya kilimo yanaanza na mbegu
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
