Daraja lenye urefu wa mita 36 lililojengwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura), limefungua mawasiliano kwa wananchi wa mitaa ya Nghambala, Mkombola na Nguji ambao walitenganishwa na huduma za Kata ya Chigongwe katika Jiji la Dodoma.

Back to Home
Daraja la Sh606 milioni lafungua mawasiliano Dodoma
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
