Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Serikali ya Kijiji cha Mitengwe, Kata ya Mzenga, kwa tuhuma za kuuza maeneo ya kijiji, hali iliyosababisha migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji.

Back to Home
DC Magoti awang’ang’ania watendaji watatu wanaotuhumiwa kuuza ardhi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
