Wakati mapato yanayotokana na mauzo ya kahawa inayozalishwa na wakulima nchini yakifikia zaidi ya Sh1 trilioni kwa mwaka, Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Godfrey Mnzava amewataka wakulima kuzingatia uzalishaji unaokidhi viwango vya ubora vya kimataifa ili kuongeza ushindani wa zao hilo katika masoko ya ndani na nje ya nchi.

Back to Home
DC Mnzava asisitiza ubora wa kahawa, mauzo yakifikia Sh1 trilioni
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
