Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandala ameingilia kati mgogoro wa ardhi kwa kuagiza waliovamia eneo la Shule ya Serikali ya Saniniu Laizer ya Kijiji cha Naepo kata ya Naisinyai kusitisha ujenzi wake.

Back to Home
DC Simanjiro aingilia kati uvamizi wa eneo la shule
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
