Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema gari lililotelekezwa katika Mtaa wa Mindu, Upanga jijini Dar es Salaam, halikuwa na dawa za kulevya, silaha wala Sh600 milioni kama ilivyosambaa kwenye mitandao ya kijamii.

Back to Home
DCEA yatoa kauli gari lililotelekezwa Upanga
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
