Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Jumanne Sagini, ametaja mambo matatu kuwa vipaumbele vyake, ikiwamo kuhakikisha barabara ya njia nne inakamilika ili kuondoa kilio cha wananchi na viongozi wa kitaifa wanaofika mkoani humo.

Back to Home
Sagini aanza kazi Mbeya, awabana wakurugenzi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
