Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia diwani wa Kata ya Myamba, Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Greyson Kyondo kwa kuendesha gari kizembe na kusababisha ajali iliyosababisha kifo cha dereva bodaboda.

Back to Home
Diwani wa CCM mbaroni kwa kusababisha kifo cha dereva bodaboda
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
