Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameeleza kuvutiwa na matumizi ya ndege aina ya bundi katika kudhibiti panya waharibifu wa mazao, akisema ubunifu huo wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Sua) unaweza kuwa mkombozi kwa wakulima, kwa kupunguza uharibifu wa mazao bila kutumia kemikali.

Back to Home
Dk Mwigulu avutiwa matumizi ya bundi SUA kudhibiti panya waharibifu
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
