Jumla ya watuhumiwa 83 wametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za makosa mbalimbali ya jinai, yakiwemo wizi, ubakaji, mauaji, biashara ya dawa za kulevya na ununuzi wa mali zinazodaiwa kuwa za wizi.

Back to Home
Polisi Dar yanasa watuhumiwa 83, wakutwa na simu 122
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
