Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) inakabiliwa na mlipuko mkubwa zaidi wa ugonjwa wa virusi vya Ebola kuwahi kutokea nchini humo, baada ya wagonjwa 3,605 kuthibitishwa na vifo kufikia 1,587.

Back to Home
Ebola DRC yaua 1,587, wagonjwa wafika 3,605
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
