Wakati magonjwa yasiyoambukiza kama kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo na saratani yakizidi kuwa changamoto katika jamii, kuna haja ya kuanza kufikiria upya mahali elimu ya kinga dhidi ya magonjwa hayo inapopaswa kuanzia.

Back to Home
Elimu ya magonjwa yasiyoambukiza ianzie shuleni
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
