Kiongozi wa chama cha Democracy for the Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, ameondoka nchini Kenya kuelekea Marekani kwa mara nyingine, safari inayolenga kupumzika, kuweka mikakati ya kisiasa na kuhamasisha fedha kuelekea uchaguzi wa 2027.

Back to Home
Gachagua aelekea Marekani kupanga mikakati ya 2027
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
