Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema eneo la Mlima Kenya liko tayari kumuunga mkono Seneta wa Nairobi, Edwin Sifuna, iwapo ataibuka kuwa mgombea wa pamoja wa urais wa upinzani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.

Back to Home
Gachagua afungua mlango wa ushirikiano na Sifuna kuelekea 2027
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
