Watoto 300 wenye matatizo ya moyo nchini, wanatarajiwa kunufaika na huduma za upasuaji maalumu baada ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuingia makubaliano ya ushirikiano wa kimkakati.

Back to Home
GGML, JKCI kufadhili upasuaji wa moyo kwa watoto 300
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
