Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetenga zaidi ya Sh257 milioni kuboresha mandhari ya ofisi zake kupitia ujenzi wa bustani, maegesho ya magari, njia za watembea kwa miguu na uchimbaji wa kisima cha maji, huku utekelezaji wa mradi huo ukiwa umefikia asilimia 65.

Back to Home
Halmashauri Mbeya yatenga Sh257 milioni kuboresha ofisi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
