Viongozi wa halmashauri nchini wametakiwa kuanza mapema maandalizi ya miundombinu ya elimu kwa ajili ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2028, wakati wanafunzi wa darasa la sita na la saba watakapohitimu kwa pamoja.

Back to Home
Halmashauri zaonywa zijiandae ongezeko la wanafunzi 2028
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
