Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi amewataka watumishi wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC), kubadilika na kuongeza kasi ya utendaji kazi ili kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi na Taifa.

Back to Home
Kabudi aitaka NEEC kuongeza kasi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
