Zaidi ya kaya 100 zilizojenga makazi ya kudumu katika eneo la Litingi, Mtaa wa Mnazi Mmoja katika Manispaa ya Mtwara Mikindani, zimeiangukia Serikali zikiomba ziruhusiwe kuendelea kuishi katika eneo hilo, licha ya kupewa notisi ya siku 14 kubomoa nyumba zao.

Back to Home
Kaya 100 zaiangukia Serikali kukwepa bomoabomoa Mtwara
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
