Hali ya upepo mkali unaosababisha kuenea kwa vumbi imeendelea kuwa changamoto kwa wakazi wa mikoa ya kanda ya Ziwa, hali inayodaiwa kuchangia kuongezeka kwa matatizo ya macho ikiwamo mzio, kuwasha na kutoa machozi.

Back to Home
Sababu kuongezeka ugonjwa wa macho Kanda ya Ziwa zatajwa
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
