Kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Geita, Neema Chozaile, anayekabiliwa na tuhuma za kula njama za kuwaua maofisa wa Polisi, imesogezwa mbele kwa mara ya pili baada ya upande wa utetezi kudai afya ya mshtakiwa kutokuwa nzuri.

Back to Home
Kesi ya Mwenyekiti wa Chadema yasogezwa, sababu za kiafya zikitajwa
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
