“Mali ya baba inanitoa roho, bora nikae pembeni, niinusuru roho yangu mimi…” Hicho ndicho kibwagizo cha wimbo ‘Kilio cha Mtu Mzima’ wa OTTTU Jazz Band kilichotumiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba Wilaya ya Mbulu, Mosses Ntumengwa, kuanza uamuzi wa mgogoro wa ardhi uliowakutanisha ndugu wawili waliokuwa wakigombea shamba waliloachiwa na baba yao.

Back to Home
Kibwagizo cha wimbo wa ‘kilio cha mtu mzima’ kilivyotumika kesi ya ardhi
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
