Katibu Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo haupaswi kuangalia tofauti za vyama vya siasa, akisisitiza Serikali inapaswa kutatua kero za wananchi kupitia miradi inayotekelezwa.

Back to Home
Kihongosi: Miradi ya maendeleo isiangalie vyama
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
