Jeshi la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Fahad Bakari (34), mkazi wa Masasi, mkoani Mtwara, kwa tuhuma za kutapeli Sh36 milioni kutoka kwa wazazi watatu kwa madai ya kuwapatia ajira watoto wao serikalini.

Back to Home
Kijana mbaroni akidaiwa kuwatapeli wazazi Sh36 milioni za ajira
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
