Serikali imesitisha leseni ya gazeti la MwanaHALISI kwa kipindi cha miezi sita kuanzia Agosti 19, 2026 kwa kile ilichoeleza, limekiuka masharti kwa kuchapisha maudhui yaliyokosa usahihi, mizania na uthibitisho wa kutosha.

Back to Home
Serikali yasitisha leseni ya MwanaHALISI, TEF yapinga
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
