Wakati Afrika ikiendelea kukimbizana na ujenzi wa miundombinu kama barabara na mitandao ya kidijitali, Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema mafanikio ya miradi hiyo hayatapimwa kwa ujenzi uliofanywa pekee, bali kwa uwezo wake wa kubadilisha maisha ya watu na kuwapa vijana fursa za kiuchumi.

Back to Home
Kikwete apigia chapuo uwezeshaji wananchi, Mo asema…
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
