Wakati Serikali ikiendelea kusisitiza umuhimu wa kusogeza huduma za afya karibu na wananchi, wakazi wa Kijiji cha Kola, Wilaya ya Kisarawe, wamejichangisha fedha na kujitolea nguvu kazi kujenga zahanati baada ya kukabiliwa na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata matibabu.

Back to Home
Kilomita sita kufuata matibabu zawasukuma Kola kujenga zahanati
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
