Nakiri kuwa sikupata kuuelewa vyema msemo wa wahenga wetu wa “mwana wa mbuzi kamba ni yake” na nikauchukulia kirahisi tu kuwa walimaanisha kuwa ni vyema mtoto wa mbuzi au wa kondoo akafungwa kamba akiwa malishoni asije akapotea!

Back to Home
KONA YA MSTAAFU: Mstaafu asifanywe mbuzi na kamba yake!
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
