Rais, Samia Suluhu Hassan amesema kero ya maji iliyodumu kwa muda mrefu Kizimkazi na maeneo mengine ya Kusini Unguja, imefikia mwisho, baada ya kuzindua miradi miwili ya maji huku akiwataka wananchi kuitunza miundombinu hiyo.

Back to Home
Kizimkazi yaaga kero ya maji, Rais Samia atoa neno
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
