Mauzo ya nje ya vipodozi kutoka Korea Kusini yamefikia rekodi mpya baada ya kuongezeka kutoka dola 10.18 bilioni za Marekani mwaka 2024 (Sh26.951 trilioni) hadi dola 11.42 bilioni za Marekani (Sh30.234 trilioni) mwaka 2025, sawa na ongezeko la asilimia 12.2.

Back to Home
Korea yaipiku Marekani mauzo ya vipodozi duniani
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
