Wasafiri wanaokwenda nje ya nchi sasa wanaweza kupata huduma ya intaneti bila kubadilisha laini zao za simu au kununua SIM kadi wanapowasili, kufuatia kuzinduliwa kwa jukwaa la Kwetu eSIM linalopatikana katika zaidi ya nchi 190.

Back to Home
Laini moja ya simu kutumika nchi 190
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
