Madaktari bingwa kutoka Tanzania na Misri wanatarajiwa kuungana jijini Mwanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya ubongo, uti wa mgongo, mishipa ya fahamu, pua, koo na masikio, katika kambi maalumu inayotarajiwa kuwahudumia watu kati ya 300 na 400.

Back to Home
Madaktari bingwa Tanzania, Misri kutoa huduma Mwanza
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
