Madereva wa daladala zinazofanya safari kati ya Mafiga na Kihonda Azimio wameiomba Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) kuingilia kati malalamiko yao kuhusu bajaji kutoa huduma kwenye njia hiyo na kuchukua abiria kwenye vituo vya daladala.

Back to Home
Madereva wa daladala walia bajaji kuvamia njia zao
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
