Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa, wameitaka halmashauri hiyo kuweka mikakati ya kuhakikisha madeni ya walimu na watumishi wa kada nyingine yanalipwa kwa wakati, ili kuwawezesha kufanya kazi kwa utulivu na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma.

Back to Home
Madiwani waitaka halmashauri ya wilaya Mufindi kulipa madeni
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
