Wakati Serikali ikiendelea kuimarisha juhudi za kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na watoto, baadhi ya wazazi bado wameendelea kuwanyima watoto wa kike haki yao ya elimu kwa kuwatumbukiza katika ndoa za utotoni, badala ya kuwawezesha kuendelea na masomo ili watoe mchango katika maendeleo ya familia na Taifa.

Back to Home
Mahari ya Sh4.5 milioni yataka kukatisha masomo ya mwanafunzi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
