Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewabebesha makada wake 460 katika kanda tisa za kichama, zigo la kusimamia maadili na itikadi ya chama, huku kikiwawekea lengo la kuchangia upatikanaji wa wanachama wapya 500 katika kila wilaya nchini.

Back to Home
Makada wa CCM wabebeshwa zigo la maadili, kusajili wanachama wapya
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
