Wafanyabiashara mkoani Shinyanga, wakiwamo makandarasi na kampuni za ujenzi, wameiomba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuangalia changamoto zinazowakabili, ikiwamo ya kutozwa faini kutokana na kuchelewa kulipa kodi wakati malipo ya miradi wanayotekeleza yakichelewa.

Back to Home
Makandarasi, kampuni za ujenzi walalamikia faini TRA
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
