Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) imeanza kufunga vifaa vya kufuatilia mwenendo wa magari (VTS) katika daladala zinazofanya safari za mijini, hatua inayolenga kudhibiti ukiukwaji wa masharti ya leseni na kuboresha huduma kwa abiria.

Back to Home
Makosa matatu yasababisha daladala 203 kufungiwa VTS
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
